KUMBE DUDUBAYA ANAISHI KWENYE MAGOFU/NINA PICHA ZA UTUPU ZA MANGE/ MR NICE NIMSHAMBA/ HAKUNA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2025
  • ‪@dudubayaofficial3146‬ ‪@allyrehanitz‬ ‪@nice_asmr‬ ‪@Wasafi_Media‬ ‪@connectiononlinetv_tz‬ onlin

Комментарии • 293

  • @charlesmbori88
    @charlesmbori88 8 месяцев назад +7

    Yaani napenda jinsi DUDU huwa na information,,, kajua hapa kwetu Kenya kuwa prezzo ametokea familia tajiri...We like u so much konki 🇰🇪

  • @Angel-h1t7j
    @Angel-h1t7j 5 месяцев назад +5

    Napenda Sana kumsikiliza na kutizama interview za Dudu baya, konki master.. genius man,bravo bro you always speaking point.❤🇬🇧

  • @evancemichael5489
    @evancemichael5489 9 месяцев назад +34

    Dudubaya ana upeo mkubwa Sana, tofauti na watu wanavyomchukulia.

    • @yudanziku6030
      @yudanziku6030 9 месяцев назад +3

      Sana kabisa

    • @HabibuMalima
      @HabibuMalima 5 месяцев назад +2

      Nikweli sema watu kama hawa wanadidimizwa ktk jamii

    • @ShabiniAmri
      @ShabiniAmri 2 месяца назад

      Lazima awe naupeo, mana maisha yamempiga,maisha ya watuwote anayajua nikufuatilia maisha ya watu,bado ananafasi yakufanya, hatamchicha unatoa ,waandishi wahabari wanamfanyia kusudi maana washamjua kadata kimaisha,

  • @abdallahhamisiiddi4513
    @abdallahhamisiiddi4513 8 месяцев назад +17

    Dudubaya nimagufuli lakini hatujuwi tu.jamaa yupo vizuri sana .na tutamsifu akisha kufa kama ilivyo desturiyetu

  • @BobErick-er6qm
    @BobErick-er6qm 9 месяцев назад +20

    From Nairobi Kenya God give u more strength dudu baya uko na elimu bora

  • @MzeeKobe_254
    @MzeeKobe_254 9 месяцев назад +18

    From WASHINGTON... Dudubaya interview zake ni za hekima na huwa anasema ukweli saaana sana!!
    Anachokisema kuhusu Mange ni ukweli mtupu, ata Kenya hajulikani au ng'ambo HAJULIKANI kamwe...
    Maisha ni mafupi ila kuna watu watang'aa wakiondoka ulimwenguni.. ndio talanta ya kuimba ilikua kidogo lakini ako na wisdom kubwa sana huyu jama!!! He's a GENIOUS

  • @StevenSimon-q7u
    @StevenSimon-q7u 22 дня назад

    Jamaa yuko vizuri mnoo kila nyanja big up to him konki master

  • @maxwellnjehu2425
    @maxwellnjehu2425 9 месяцев назад +9

    Didn't know dudu is this wise and informative! Long live

  • @Dysmedia254
    @Dysmedia254 11 месяцев назад +20

    Huyu manzee anafaa apewe ulinzi sanaa na akifa ajengewe sanamu. Salut sana kaka konki konki konki master. Much love from Kenya 🇰🇪

  • @aminkasim7731
    @aminkasim7731 10 месяцев назад +21

    Dudu baya Kila interview lzma ataje Mungu,,,big up brother

  • @josephfelicianlugakingira832
    @josephfelicianlugakingira832 10 месяцев назад +26

    Dah Jamaa Nilikuwa Namuona Siyo Kumbe Makini Sanaaaa, Aisee Nimempenda Bure

  • @MosesCharles-v2o
    @MosesCharles-v2o 10 месяцев назад +23

    🎉dudu unaongea ukwel serikali ingekupereka wizara ya sanaa ukasemea wasanii ikuangalie serikali kwa jicho ra tatu kunawaliosoma ila hawana kitu ulichonacho konk

    • @Byme6434
      @Byme6434 7 месяцев назад

      Huyu Muongeaji wa Ukweli kwahiyo hiyo Wizara Ya Sanaa Hawawezi Kumpa Ingekuwa kipindi Cha Magufuli sawa ila so Kwa kipindi Hiki

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 8 месяцев назад +5

    Nimemfuatilia sana Dudu Baya. Jamaa anajua mambo mengi sana anafaa kuwa mchambuzi wa kiasiasa na anafaa kuwa Kiongozi kabisa. Akipewa platform anaweza acha alama.

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 8 месяцев назад +16

    Naibu waziri mwana fa kaa Na konki master atakuwa anakupa ushauri mzuri sana jamaa anajua mambo mengi sana

  • @FelixHatungimana-f2w
    @FelixHatungimana-f2w 2 месяца назад +1

    Raiya wa burundi 🇧🇮 dudu baya wakweli nakuthamini sana sinakitu msanii wangu nigekutumiya zawadi kwakweli una stori safi

  • @sandalakabalo5442
    @sandalakabalo5442 5 месяцев назад +4

    Mama samia mpe ukuu wa wilaya dudu baya

  • @lazarolaurent8800
    @lazarolaurent8800 9 месяцев назад +14

    Dudubaya mimi siwezi kuona interview yako na kuiskip lazima niitazame na kuiskikiliza kwa makini. Nimecheka sana eti wasanii wanafunika kwenye show lakini mfukoni wanafunikwa 😂😂😂😂😂

  • @FrankoLugendo
    @FrankoLugendo 7 месяцев назад +4

    Akili kubwa sana kaka Dudu hongera sana

  • @mathiasgoda
    @mathiasgoda Месяц назад

    point sana dudu baya pongezii kwako👊🏿

  • @kitovasaidi6753
    @kitovasaidi6753 9 месяцев назад +7

    Kaka una madini sana unajua kupambanua ishu wachache sana Wana uwezo wa kufikiri kihivyo hasa hawa wasanii wetu.

  • @12322879
    @12322879 10 месяцев назад +21

    Naombeni namba ya simu ya Mamba nimrushie hela ya maji meupe.

  • @godsson5954
    @godsson5954 9 месяцев назад +8

    huyu dudubaya alipaswa aapewe ajira kitengo cha basata au wizara ya tamaduni sanaa na michezo tena position ya operation haki

  • @LindaMwanzi-f8i
    @LindaMwanzi-f8i 9 месяцев назад +4

    I respect dudu baya!!! Big up

  • @mercymkami7647
    @mercymkami7647 5 месяцев назад +2

    Dude baya ni kichwa sana hajawahi kurupuka kwanza ni mwanamziki anayejutambua ipo siku Mungu atamkumbuka.vumilia yatapita tu.

  • @sawiabatenga3554
    @sawiabatenga3554 8 месяцев назад +3

    Sikujua kama Dudu baya anaakili kama hii. Hongera sana.

  • @zabrongermanus-co1jj
    @zabrongermanus-co1jj 6 месяцев назад +1

    Big up sana Mtumishi wa Mungu yafanye mapenzi ya Mungu tu ndo kila kitu usikubali mtu kuitikisa imani yako kisa pesa❤

  • @ShukururemyShukuru
    @ShukururemyShukuru 16 дней назад

    😂 nampenda sana dudubaya

  • @AlombweChabene-j9h
    @AlombweChabene-j9h 2 месяца назад

    Konki master umenifunguwa ubongo sasa nimehelewa, hongera sana

  • @humphreychristopher8577
    @humphreychristopher8577 9 месяцев назад +9

    Kwa mara ya kwanza namuelewa DUDU BAYA NA NAMPIGIA SALUTE. Hii ni observation na uelewana mpana sana kwenye tasnia ya sanaa ya muziki.

  • @ImanipeterMlelwa
    @ImanipeterMlelwa 2 месяца назад

    Dudu umetuvimbua meng sana big up kwako

  • @EliahKayombo
    @EliahKayombo 8 месяцев назад +3

    Wabongo flavor legend wakikuwa wanaspend sana life bila kuwekeza

  • @bkkomesho9272
    @bkkomesho9272 9 месяцев назад +4

    Sikuwahi kufatilia interview yako hata moja, najuaga ni dudu baya ila sijuagi kama una mapoint hivi. Big up

  • @RichardChatta
    @RichardChatta 9 месяцев назад +11

    Daah inaumiza sana mm sio msanii lkn wanapigwa sana....!,kaka umenena ukweli mtupu...!

  • @jibririjamshidi
    @jibririjamshidi 2 месяца назад

    Makini sana

  • @suzanarupia6484
    @suzanarupia6484 8 месяцев назад +5

    Kweli Dudu baya nakuunga mkono mbezi ya kamala kwa msumi heneo lote hakuna maji tuna nunua tu huu mwaka wa7 na wameweka mabomba njiani Yana Pata kutu.jaman jamani na codi tunatozwa.

  • @CerndyHaile
    @CerndyHaile 4 месяца назад

    Konki Master big up

  • @SaidiMkinga
    @SaidiMkinga 11 месяцев назад +20

    DUDU WACHA WAKUCHUKIE TU . ILA UNASEMA KWEL SANA WASANII WA BONGO WANATESEKA SANA MADOGO VICHWA PANZI WENGI✊✊

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 9 месяцев назад +9

    Konki master ana akili sana huyu mtu, sikumdhani kabisa

  • @henribwema2778
    @henribwema2778 9 месяцев назад +8

    Kumbe Dudu baya una akili hivi! Nakupata ni kiwa DRCongo.

  • @mwitamahende4394
    @mwitamahende4394 7 месяцев назад +1

    Dudu wewe ni mahili katika katika fani yako. Big up.

  • @bahatiiddibahatiiddi-be5nj
    @bahatiiddibahatiiddi-be5nj 9 месяцев назад +3

    Huyu ndio mtetezi wa wasanii tz big up dd by

  • @Ibrahim.Katera.
    @Ibrahim.Katera. 8 месяцев назад +2

    Jamaa umetisha sana na pia kama ni kutangaza unaweza kaka na mimi naomba ufanye vipindi hivi hivi vya burudani.

  • @steveodero3455
    @steveodero3455 5 месяцев назад

    This man is full of wisdom.

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 8 месяцев назад +4

    we mwandishi mwongo uko kwenye mapagare beach ya silver send wanakaa watu waliokwama kwa hiyo dudu baya konki master ajanunua ilo eneo acha kutudanganya

  • @spreadlove5300
    @spreadlove5300 9 месяцев назад +2

    Afya bado haijakaa vizuri 😮 Mungu akuponye tuu 🙏

  • @nanaritho6850
    @nanaritho6850 9 месяцев назад +13

    Mimi ni mwanamuziki nimemuelewa sana konki leo

  • @NeemaMangushi
    @NeemaMangushi 5 месяцев назад

    Much love bro

  • @issaramadhaniathuman
    @issaramadhaniathuman 9 месяцев назад +18

    Dudu chafu imekubali kirahisi Sana kichwa inafanya kazi huyu kakosa sapoti anafaa kuwa mwanasiasa %95

  • @ashasalim-l6h
    @ashasalim-l6h 2 месяца назад

    Duh Leo.nimemkubali

  • @wilbertnyambi1036
    @wilbertnyambi1036 8 месяцев назад +1

    Uko vzr broo nakukubali sna una madini

  • @kennethmhaiki8957
    @kennethmhaiki8957 9 месяцев назад +5

    Dudu baya ana stori sana na huchoki kumsikiliza

  • @RehemaMaluba
    @RehemaMaluba 5 месяцев назад

    Mbarikiwe sasa Huduma baba respect 💪💪neema Mungu awe nawe

  • @obviousmphande8621
    @obviousmphande8621 8 месяцев назад +13

    Huyu koki namuelewa sana ,ni watu wachache wa namnahii .Anaupeo mkubwa sana .maana ushahidi wa maneno yake pia anawo
    Gonga like tumuunge mkono.

  • @tyterbrainer1975
    @tyterbrainer1975 8 месяцев назад +2

    Uko vzr mdogo wangu Tumaini

  • @JonasNestory
    @JonasNestory 8 месяцев назад

    Big up bro........attractive stories,,

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma4543 8 месяцев назад +1

    Akili kubwa sana 👏👏👏👏

  • @JamesMoses-jd1yq
    @JamesMoses-jd1yq 8 месяцев назад +1

    Nashindwa kumchukia konk master maanake nampenda buree

  • @ZigabeChanceline
    @ZigabeChanceline Месяц назад

    nakupendaka saaaaana dudu baya unaongeyaka ukweli saaana love you so much from Congo DRC

  • @samweljuma585
    @samweljuma585 8 месяцев назад

    wasanii wa zamani wana uelewa mpana sana sikiliza maishairi yao ndo utajuwa.

  • @josephkapinga652
    @josephkapinga652 2 месяца назад

    Dudu bayaaa anavochekaaaa ujinga wa Mr. Nice utadhani ni mazuri

  • @chezariboy
    @chezariboy 2 месяца назад +1

    Unafaa upate elimu ya kisiasa nzuri upate uongozi utafaa sana

  • @MabelaShija
    @MabelaShija 10 месяцев назад +7

    Mbona ngosha leomkali sana.

  • @tumainiamanyisye8334
    @tumainiamanyisye8334 9 месяцев назад +2

    😂😂😂😂dah dudu noma sana bro

  • @avedimurunga722
    @avedimurunga722 3 месяца назад

    Dudu ,mtu safi sana.

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 2 месяца назад

    Kichwa sana hiki ✍

  • @BrunosMjuti
    @BrunosMjuti 9 месяцев назад +2

    Uyu dada BAYA ni mtu mwenye upeo wa kuelewa mambo na watu wa aina hii Huwa wanamisimamo.yao binafsi wakiamini kile wanacho kiamini bahati mbaya ya watu wa namna hii Huwa awapendi kujishusha au kujipendekeza mara nyingi ni watu wa kukataliwa pia maendeleo yao Huwa ya chini au kwa ugumu sana , maana Huwa hawapendi kuzurumiwa ,kuzarauliwa au kuwa vinamba wa watu wengine, mfano angalia watu kama wakina ,Mandela, Nyerere, magufuli, nawengine unao wajua wewe angalilia misimamo yao na maendeleo ya maisha yao binafsi, watu awa wapendi na wao awapendi kujipendekeza wapo lazi wawe masikini lakini asi aibishe utu au misimamo yake, ndio dudu BAYA alivyo ,zaidi yupo vizuri sana kwa mawazo na upeo wake , ndio Ile unakuta msomi mwenye uwelewa mkubwa au elimu sana , mara zote Huwa aliziki na mawazo ya wengine , uyu dudu BAYA serikali ingekuwa inaangalia aina za watu wa namna hii wangekuwa wanawapa majukumu flani flani ya usimamizi wa mambo yanayo itaji kufosi,

    • @BarakaOmaryy
      @BarakaOmaryy 7 месяцев назад

      Kweli kabisa jamaa ❤

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 8 месяцев назад

    Nilichogundua ma interviewer wengi wa Tanzania hawana Extended knowledge about to investigate journalism matters, zaidi ya ushabiki wa mambo yasiyoumiza kichwa.

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 7 месяцев назад

    Dudu Baya Genius sana

  • @bethmahela2182
    @bethmahela2182 9 месяцев назад

    Nimekuelewa vizuri sana dudu baya

  • @M7-Band
    @M7-Band 10 месяцев назад +3

    Hahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ila Dudu eti kafunika show ila mfukoni kafunikwa

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx 9 месяцев назад +14

    Jamaa kama ana madin iviiiii au wenzangu mnaonajeee

  • @fadhilinanyanga2048
    @fadhilinanyanga2048 9 месяцев назад +4

    Nimekupata konki master

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج 4 месяца назад

    😢😢😢usimdharau usiyejua mjua.dudu baya ana kitu.

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 2 месяца назад

    Dudu Baya nenda kwa maombi utapona. Ushawapiga sana watu especially wanga sasa wanakuumiza afya yako

  • @eliaschibuga
    @eliaschibuga 5 месяцев назад

    Mzee wa ndivyo ulivyo nakupenda tu big hope TUMAINI WILLIAM

  • @Johnhamad-bz7go
    @Johnhamad-bz7go 10 месяцев назад +1

    aisee dud umeongea vizuri sana mN

  • @shabanimbega40
    @shabanimbega40 8 месяцев назад

    Konki master yupo vizuri sana

  • @UpendoLema-bx9ji
    @UpendoLema-bx9ji 5 месяцев назад

    Mama Samia amtazame huyu mtu kwa jicho la tatu kwakweli❤

  • @yusuphkiponza4542
    @yusuphkiponza4542 5 месяцев назад

    Jamaa anaongea point sana

  • @lemmychea
    @lemmychea Месяц назад

    Tuonyeshe kwenye waishi mzee

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 5 месяцев назад +1

    Kwani Dudubaya kaja kwa mamako kumuomba pa kulala?
    Au umetumwa na Samia kwa kuwa jamaa aikosoa regime yake?

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 9 месяцев назад +1

    Nakupenda sana mwanetu

  • @nicholausmanyanda9704
    @nicholausmanyanda9704 4 месяца назад

    😅😅😅 Jamaa kanyooka aiseee

  • @mariamalongo8803
    @mariamalongo8803 9 месяцев назад +2

    Dudu bayanfor ever

  • @ValentinoSingano
    @ValentinoSingano 5 месяцев назад

    Wewe dudu ni mtu muhimu sana kwetu

  • @WilsonAmosi
    @WilsonAmosi 2 месяца назад

    Wawoo

  • @ValentinoSingano
    @ValentinoSingano 5 месяцев назад

    Kaka dudu baya
    Nimekukubali

  • @jackmajura6514
    @jackmajura6514 9 месяцев назад +1

    Kaka mkubwa. mwamba kabisa🙌🙌kisima cha madini

  • @aloycesjoseph2652
    @aloycesjoseph2652 9 месяцев назад +1

    Dudu uko vizuri snaa

  • @ErickJoseph-mo9ix
    @ErickJoseph-mo9ix 4 месяца назад +1

    Sema hili jamaa linaakili 🫡

  • @OmegaChurch-t5g
    @OmegaChurch-t5g 7 месяцев назад

    Hahaaaaa nimecheka Sana kweli Mr nice ni mbwa

  • @AllyMwazoa
    @AllyMwazoa 9 месяцев назад +5

    Unakosea hapo kwenye kumponda babaake ambae hausiki na ugomvi wenu na huyo mange.Hivyo hana hatia

  • @richardchristopher589
    @richardchristopher589 9 месяцев назад +1

    Dudu umetisha sana. Hala baby😂

  • @mtilasoneysan3369
    @mtilasoneysan3369 5 месяцев назад +1

    msanii ana vitu vingi ila mtangazaji bado uwezo wako wa kuhoji upo chini, unauliza vitu ovyo ovyo

  • @habillahimsokela6708
    @habillahimsokela6708 5 месяцев назад

    Huyu dudubaya ni lulu awekwe sehemu asikilizwe kwa umakini anavitu vingi sana vya kueleweka

  • @ScolaMwamlima
    @ScolaMwamlima 8 месяцев назад

    Dudu nimtu mwenye upeo mkumbwa sana nimkweli daima

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 9 месяцев назад +1

    Dudu baya uko vizuri sana

  • @dominicfrancis4073
    @dominicfrancis4073 9 месяцев назад +1

    Respect dudu baya 🇹🇿🙏

  • @salimomari150
    @salimomari150 4 месяца назад

    Jamaa achukue nchi tu... Anajua kila dhuluma Ya watanzania😢

  • @SmartDigital-j6s
    @SmartDigital-j6s 7 месяцев назад +2

    huwa namuelewa sana huyu jamaa mkuu wa takwimu. tusichokijua ni kwamba amebeba takwimu zote za muziki na wanamuziki. tatizo watanzania tunachekelea sana ujinga na kupuuza mambo ya msingi. watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa